SIMBA SC 'KUVAMIA MSITU WA MBAO' BILA SILAHA YAKE MHIMU
Bocco ataikosa mechi ya leo kutokana na majeraha ya mguu wake, aliyoyapata katika mchezo wa Ligi Kuu uliopita, February 25 2018, dhidi ya Mwadui FC kwenye Uwanja wa CCM Kambarage, Shinyanga.
Mbali na kuukosa mchezo huu, Bocco pia hakuwepo katika kikosi cha Simba kilichocheza mechi ya Kombe la Shirikisho Africa dhidi ya Gendarmarie Nationale FC ya Djibout ambao Simba walishinda bao 1-0.
Hii itakuwa mechi ya pili sasa Bocco anakosekana dimbani baada ya Gendarmarie, na leo dhidi ya Mbao FC.
Post a Comment