Header Ads

CHADEMA yajipanga kuhamasisha Michezo Pemba


Image result for chadema 
CHAMA cha  Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Kisiwani Pemba kimeanzisha mashindano ya mpira wa miguu kupitia majimbo yote ya uchaguzi.
Akizungumza na michezo ya Redio jamii Micheweni  Hamis Issa Muhammed katibu wa CHADEMA kanda ya pemba amesema katika kisiwa cha pemba kumekuwa na vijana wengi ambao wana uwezo mkubwa wakuonesha vipaji katiaka anga za soka.
Amesema kupitia Mbunge wa viti maalum wa chadema Zainab Mussa Bakar kwa makusudi wameamua kuanzisha mashindani hayo hapa anaelezea lengo la michuano hiyo.
Amesema kwa sasa michezo nikama ajira kwani hivisasa ulimwenguni kote suala la michezo limetiliwa nguvu ambapo baadhi ya vijanatayari wameshafanikiwa katika soka.

No comments