Mtuhumiwa Dawa za kulevya Kete 688 Kas-Pemba aachiwa huru, Mahakama yataja sababu
Hakimu
wa Mahakama hiyo Makame Mshamba Simgeni amesema uwamuzi wa Mahakama kumuachia
huru Mtuhumiwa ni baada ya kubaini kuwa taratibu za ukamataji hazikuzingatiwa.
Aidha
Hamiku Mshamba Ametaja kasoro nyengine ni kuwa Hati ya Upekuzi haikuandikwa
kile kilichokamatwa baada ya Upekuzi uliofanywa na Askari Nyumbani kwa
Mtuhumiwa.
Aidha
Hakimu huyo ameagiza Kuharibiwa vielelezo vyote vya kesi hiyo.
Post a Comment